Msaada wa Haraka

Tuko hapa kukuongoza hatua kwa hatua

Tumia sehemu hii kupata jibu la haraka, kujua hatua inayofuata, na kufika kwenye sehemu sahihi bila kupoteza muda.

1
Anza hapa
Kama wewe ni mteja au vendor
Chagua njia sahihi kulingana na kile unachotaka kufanya. Ukikwama, support ipo tayari kukusaidia.
Kwa Mnunuzi

Tafuta bidhaa, ongeza cart, fuata order yako, kisha confirm delivery unapopokea bidhaa.

Nenda Kununua
Kwa Muuzaji

Ona orders, badilisha status, angalia stock, na fuatilia report zako za mauzo.

Fungua Dashboard
Msaada

Ukipata changamoto ya login, order, au product, tuma email au tumia support ya footer.

Tuma Email

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Majibu yako hapa chini yanaonekana moja kwa moja ili yasipotee unapobofya.

FAQ
1Ninawezaje kujisajili?
Bonyeza Jisajili, chagua kama ni mnunuzi au muuzaji, kisha jaza taarifa zako na uthibitishe akaunti. Ukishajisajili, utaweza kuendelea na order au dashboard kulingana na role yako.
Kidokezo: ukisahau sehemu yoyote, scroll chini kwa "Hatua za haraka".
2Nawezaje kufanya order?
Tafuta bidhaa, fungua product detail, ongeza cart, kisha kamilisha checkout ukiwa umeingia kwenye akaunti. Kwa sasa malipo mengi ni cash delivery, hivyo fuata hatua za confirmation kwa makini.
Baada ya checkout, utaona order yako kwenye sehemu ya Orders.
3Nifanye nini nikisahau password?
Nenda kwenye ukurasa wa kuingia kisha chagua Umesahau neno la siri? Utaingiza email yako na utapata link ya kubadili password.
Reset link huenda kwenye email uliyotumia kujisajili.
4Nawezaje kuwasiliana na SokoFlow?
Tuma barua pepe kwa info@sokoflow.co.tz au sokoflow@gmail.com. Pia unaweza kutumia WhatsApp au viungo vilivyo chini ya page.
Tunaweza kukusaidia pia kwa support ya login, order, bidhaa, au vendor dashboard.
Hatua za haraka
  1. Chagua kama wewe ni mnunuzi au muuzaji.
  2. Jisajili au ingia kwenye akaunti yako.
  3. Tafuta bidhaa au fungua dashboard yako.
  4. Ukikwama, fungua support email moja kwa moja.
Unatafuta nini sasa?